Wednesday, October 24, 2012

PICHA ZA WOMEN IN BALANCE KITCHEN PARTY GALA

 Watu waliingia na kukaaa kwenye siti zao



 Baada ya watu kukaa MC wa Shughuli Bi Gea Habib alinikaribisha kufungua rasmi shughuli yetu.
Nilifunguwa na kuwapa utaratibu wa shughuli nzima itakavyokwenda..
Wadhamini wakuuu wa women in balance kitchen party gala walikuwa Tsn supermarket.Marketing manager kutoka Tsn Lizbet alituambia kwa nini tununue mahitaji yetu Tsn supermarket.Pia walitoa ofa ya kufanya shopping na Tsn,kujishindia vocha za laki 1 na elfu 50 za kufanya manunuzi Tsn supermarket.
 Tulikuwa na msemaji kutoka Nairobi Kenya bi Getrude Mungai ambae ni Life Style Designer of Sex and Relationships.
 Aunty Sadaka mwanasaikolojia...
Tulikuwa pia na Chriss Mauki mhadhiri msaidizi wa saikolojia ya jamii kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam.
Tulikuwa tukiburudishwa na skylite band,band mpya jijini na wako saaafi waliohudhuria waliona shughuli yao.

Women in balance kitchen party gala ilifanyika Diamond jubilee vip hall.Jumapili ya tarehe 21 ikiwa imedhaminiwa na Tsn supermarket,clouds fm,cocacola na sossi.
 Picha zaidi zinakuja....

No comments:

Post a Comment